Recent content by kitandachapesa

  1. K

    Wachaga tupe siri na sisi wengine

    Ogopa sana mtu atakaetumia nguvu kulipinga hili.......... Ndo mhanga namba Moja. N.B. Wapare wanaongoza kudanganya makabila mengine kuwa wao ni wachaga.
  2. K

    Nahisi mke wangu hanipendi

    Asipoelewa hili wazo ndo basi tena. Vita ya kwenye ndoa mwanamke huwa anachoka na kuzeeka lkn sio kufa......ila upande wa pili hawaeleweki ndo maana now days ..... Ni kuwa makini ....mtu anataka asepe na familia nzima.. Mtoa mada usishindane na mwanamke maana nae akisema aliwe hata kwa siri...
  3. K

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Mtego huo ......STUKAAA Ila sijasema usioe.
  4. K

    Kataa kuoa mwanamke mwenye chembechembe za imani ya haki sawa

    Yani umekandamiza sana penseli. Nakuona pia kama ingekuwa ni uwezo wako ungekataa kabisa hata kupata mtoto wa kike...........
  5. K

    Nahisi kutawaliwa na mke wangu kitu ambacho sikipendi katika maisha yangu

    Unaogopa kuyumba kiuchumi kuliko kitu kibaya chochote kile. Mkuu usiwe hivo. Mali sio zaidi ya afya....UHAI.
  6. K

    Katazo lenye walakini mkubwa

    Soi Afghanistan pekee.....Bali na nchi nyingine nyingi ambazo makafir hawana uhuru wa kuabudu. Kuna moja miaka ya hivi karibuni ETI wanawake ndo wameruhusiwa kuendesha magari......Daaaah
  7. K

    Rafiki yangu alivyonishika mkono hadi kufanikiwa

    Imebidi nicheke mnoooo. Kama ni kweli basi ni balaa zito.
  8. K

    Naomba kuuliza kuhusu chimbo zuri la kununua mitumba balo za mitumba

    Mi sio mtaalam lakini nimeona nitue nishee kidogo nnachojua. Japo mitumba Iko tofauti tofauti.....nguo za watoto,za wakubwa, ...kariakoo mtaa wa narung'ombe...... Na mingine mnazi mmoja. Ila ukiweza kununulia mzigo wako godown usiende kwenye hayo maduka ni nafuu kidogo maana mizigo wanashusha...
  9. K

    Baba yangu anasema simtunzi, anamtangazia kila mtu na kufichua siri na shida za nyumbani

    Watu wengi hasa nchi za Kiafrika tunadanganyana sana kuhusu wazazi na neno laana.
Back
Top Bottom