Mimi sishangai kwa hilo, kama mtu mmoja ana trillion 3 itashindikanaje kwa selikari kupata hizo hela. Ndugu, hela za nchi hii zimekaliwa na watu, ziko kwenye account binafsi za watu. Dawa ya nchi hii ni kuchukuwa uamuzi wa Misri na Tunisia.
sioni kama ni sahihi kusemsa hotuba ya Mh Lema imefunika hotuba zingine za mawazili vivuli, kwani naamini hotuba zote zinalenga kutetea maslahi ya wananchi na kuikosoa serikali, mambo mengine ni technical tu katika kuandaa hotuba na namna ya kuisoma. Tuache ushabiki, vinginevyo hatuna tofauti...
Labda wewe utuambie unatoka kusini ipi maana unachosema akiendani na hali halisi ya mikoa iliyotajwa kwenye hoja. Hizo barabara unazozungumzia nizipi? ukiondoa barabara ya kutoka Dar iliyojengwa na mkapa? Mtoa hoja amesahau, pia wanaongoza kwa kurupuka kutoka usingizini na kugonga meza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.