Mimi pia nilishawahi Kumchapa Wife Makofi...!
4 tu lakini ya Kisawasawa, yani ile kushoto kulia, kushoto kulia....!
Kalia hapooo, akanyamaza... Akanuna siku mbili tatu, yeye mwenyewe akaanzisha Mastory...!
Mkuu usijari, hivyo ndo sahihi, usipige kama Ngoma, Makofi tu ya nguvu yanatosha...
Nadhani Kuchomana ni rahisi kama Muhusika wanamvizia mwisho wa safari yake, kama vile ingekua Uganda....!
Ila ukiwa Transit ujue ni unashuka kwenye Ndege hii, unasubiri Ndege ingine juu kwa juu.
Alianza kwanza kuhojiwa ndo akapelekwa kwenye Machine....!
Viwanja vingi vya Ndege, unapoanza Safari yako, kunakua na Scanner ambapo Mizigo yako yote inapita hapo, sometimes mpaka Viatu, then wewe kama wewe unapita kwenye Detector Machine....!
Huyu ametoka Latin America salama salimini...
Panapitika sana, Mzee alikua na wenge tu...!!!
Nimeshashuhudia mtu akikamatwa hapo Airport ya Ethiopia, alikua mbele yangu kwenye Q, yule Brother alikua hawezi kutulia, kila kitu anatizama yeye, kavaa Kofia flani, Silver kama zote Shingoni.....!
Binafsi nilisema huyu mtu amebeba mzigo, hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.