Recent content by kibaoni

  1. K

    Ushauri: Tulia Akson akatulie jimbo jipya Mbagala, Mbeya anapoteza muda

    Ni kwel wameshkwa pabaya sana,so unakumbuka ile staili ya kuondoka na sanduku ka kura na kulirudisha kura zmejaaa pomoni za kijan???? Tukifanya ivyo c tutapeta???
  2. K

    Ushauri: Tulia Akson akatulie jimbo jipya Mbagala, Mbeya anapoteza muda

    Ni ushaur kapewa kwa nia njema lakn nmeisi au ww unaona kama anamkejel?
  3. K

    Kujinasibu kwa wanasiasa kutoogopa kufa kunaakisi nini?

    Una Hakka ni mzma kwamba haumwi au pengne hajatekwa au SKU alivyo itwa kweny kamat hakukamatwa na kupelekwa rumande labda?
  4. K

    Hapa JF kuna mwanamke aliyekamilika kwa uzuri kama huyu?

    Kwel kabsa hakufikiii kabsa huyu wa kawaida sana
  5. K

    Maagizo ya Daktari!

    Kumbeeeeeeeee ndo maana nlikuta cku moja chooni mtu kajaza sink la chooni kwa kinyesi nkaisi labda kulikua na harambeee ya kunde chooni !!! Sasa nmepata jibu
  6. K

    Tutaje ahadi za kimapemzi ambazo hazitekelezeki

    Tuliponyokwa na kanywa ila iyo ahadi hatuiwez ya kla kijiji m.50
  7. K

    Tutaje ahadi za kimapemzi ambazo hazitekelezeki

    Hii tayar kwan barabara znajegwa na ile fly over pia inajegwa nyie vipiiiiiiii?
  8. K

    Wanaumeeee!!!

    Tungejiuliza alikua anafkiria nn wakat anaandka? Na huyo aliye andkiwa anajisikiaje? Na aliwwzakujibu swali aliloulizwa la kuletewa zawad? Na kwa nn mume amuandikie kwa kalam na sio SMS ya kawaida ya kweny SMU? Note "Kmya kingi kina kishndo kikubwa "
  9. K

    Mama Kanumba asikitishwa na kitendo cha Lulu kutolewa jela. Asema "Siku zote maskini hana haki"

    Kisas gan Mungu alipe ? Mungu huyo si ndo alisema mshahara wa dhambi ni mauti? Kanumba alivyokua anabaka kulipwa mshahara wake bado mnataka alipiwe visas tena?
  10. K

    Mama Kanumba asikitishwa na kitendo cha Lulu kutolewa jela. Asema "Siku zote maskini hana haki"

    Dhambi kwa Mungu hazina udogo wala ukubwa!!! Kubaka mtot mdog kwa kanumba ilikua niaibu sana kwake na jamii,tena alianza kumbaka akiwa na miaka chin ya 15!!!
  11. K

    Mama Kanumba asikitishwa na kitendo cha Lulu kutolewa jela. Asema "Siku zote maskini hana haki"

    Ww unajua self defense? Kama mbakaji anataka kubaka kwa iyo aachwe abake kisa kuua hakufanan na kubak au ukibakwa hufi?
  12. K

    Mama Kanumba asikitishwa na kitendo cha Lulu kutolewa jela. Asema "Siku zote maskini hana haki"

    Ashawai kustkitika kwa kitendo cha mwanae kutembea na mtot mdogo ? Badala ya kumlinda kama mdogo ake akawa anamla tena kuanzia siku nyingi akiwa under 16? To me kanumba alikua mhuni asiye endana na alivyoku anaonekana na kujinasibu
  13. K

    Waziri Kangi Lugola jitathmini

    Eheeeeeh huyo katokea wap?
Back
Top Bottom