Habar zenu wakuu
Nauza simu tajwa hapo juu ipo vizuri sana na haina tatizo lolote
Simu nikama mpya
BEI 130000
Nipo DAR ES SALAAM
MAWASILIANO NAMBA 0656899091
Habari zenu wakuu
Nauza vifaa tajwa hapo juu
Hp adapter imetumika mwezi mmoja tu bei ni sh 20000/=
DVD rom yaani mlango wa computer pia upo vizuri unaweza kuutumia kuban cd mbalimbali bei ni sh 25000/=
Nipo dar es salaam
Mawasiliano namba 0656899091
NB:kisimu changu hakina uwezo wa kuapload...
Nauza simu aina ya Samsung Galaxy S
Samsung-1897
Internal memory Gb 16
bei kitongaaaa 60000/=
Nipo dar cm ipo kwenye hali nzuri sanaaa
Mawasiliano namba 0656899091
Picha nimeshindwa kuziweka hapa
Habari zenu wakuu
Nauza laini yangu ya uwakala wa Tigopesa bei 200000/=
Laini ina viambatanisho vyote muhimu kama tin number na leseni ya biashara ivyo unaweza kuibadili kua kwenye jina lako
Nauza kwasababu nina shida ya haraka
Nipo dar es salaam mawasiliano namba 0656899091
Habari zenu wakuu
Nahitaji kijana anaeweza kufanya kazi zote za salon kama kunyoa
na aweze kutumia magic,black,wave nk
Salon imekamilika ipo Dar es salaam,Tandale chama eneo limechangamka sana
Kwa mawasiliano namba 0656899091
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.