inahuzunisha zaidi pale ambapo viongozi wao walio wachagua hawawajali na wala hawaambiliki ila wananifurahisha pale wanapopewa kofia kanga na tsht huku wakiwazomea wapambanaji wa ukweli watz tubadilike jamani...ishu ya madokta ni yetu sote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.