Recent content by kela72

  1. K

    Happyness Magesse anaulizwa Kiswahili anajibu Kiingereza

    Aaaah! wewe ndiyo ushangawe! mbona hata humu JF tabia hiyo ipo tele? In short ni kwamba, kuna watu wanadhani wakiongea kiingereza hadhi yao inaongezeka.
  2. K

    Shamba linauzwa

    Bado lipo hili wakuu? Mambo yalipandiana baba mkwe alileta ka-invoice, ilikuwa lazima ni kalipe ndiyo nifanye mambo mengine. Sasa hivi nadhani niko shwari kiasi.
  3. K

    Ulimwengu aliponzwa na kujitapa Utustsi!!

    Alipokuwa na dhamana ya uongozi ni siku nyingi, na hata JF haikuwepo sasa hivi tunamjadili kwenye JF. Kila kitu kina wakati wake, kuna kuvuna, panda, kulia, kucheka n.k Hata yeye anawaandama watu kwa wakati tofauti, haanzi nao toka wanazaliwa?? Kuwa makini bwana!
  4. K

    Wahindi wawili wafia hotelini Dar

    Watu wa UWT itabidi pia wachunguze, inawezekana hawa jamaa wameuawa 'kijasusi' katika shughuli za kijasusi, polisi peke yao inaweza kuwasumbua sana kama ni hivyo! Lakini baadae tuambiwe nini hasa kilitokea?
  5. K

    Ulimwengu aliponzwa na kujitapa Utustsi!!

    Mzee, hili nadhani siyo kweli. Huyu jamaa ni mmoja kati ya waandishi waliiogopa kabisa kulitaja jina la Rostam Aziz alipotajwa na DK Slaa kama ni mmoja wa mafisadi wakubwa TZ, alikaa kimya, kimya kama hakusikia vile!! Hadi hivi leo, anaweza kuandika kisa kinachohusu Rostam lakini hamtaji moja...
  6. K

    Baada ya kubinywa huko Guantanamo Ghailani sasa kujibu mashitaka

    Mkuu hiyo kweli, maana huwa wanapenda sana kuwatumia vijana wadogo kwani uwezo wao wakufikiri unakuwa bado mdogo, wanawa jaza mambo kibao! vijana wanaamini wanaanza kutekeleza UGAIDI!
  7. K

    Ulimwengu aliponzwa na kujitapa Utustsi!!

    Hebu mwangalieni sasa hivi anavyo watumia watu ambao anajua ni wadhaifu sana linapokuja suala la dini! anajua wao taifa baadae dini kwanza! Watu hawa ni Issa Shivji Prof., Haroub Othman na sasa hivi kamvaa Masoud Kipanya; Kwa wasiojua au wasikuwa na kumbukumbu nzuri huyu Masoud Kipanya alikuwa...
  8. K

    Maswali 14 ya Padri Privatus Karugendo - Raia Mwema.

    Hicho ulichosema ndicho cha muhimu kuliko maswali yake?! au upadri wake ndiyo tatizo lako mzee?
  9. K

    Maswali 14 ya Padri Privatus Karugendo - Raia Mwema.

    Nikweli kabisa mkuu!, zile hela zinazotumika zingeweza kuwasaidia wananchi ktk jmbo husika! Kuliko kuzitapanya ovyo wala bila sababu! Sijui tukoje sisi!!?
  10. K

    Kigamboni haijauzwa acheni uzushi-JK

    Mbona ya nchi kuongozwa na Rostam hajibu??
  11. K

    Ulimwengu aliponzwa na kujitapa Utustsi!!

    Kuongezea utamu hapa ni kwamba Mheshimiwa Ulimwengu anakaudini fulani wewe mfuatilie kwa makini utagumdua; Kwamfano kwenye gazeti la Raia Mwema wiki hii ametoa kama kuponda kwa mifano imani ya wenzie huku akiwa hajagusa kabisa imani yake! kaandika hivi,. "Yesu Kristo asingewambwa msalabani...
  12. K

    Ulimwengu aliponzwa na kujitapa Utustsi!!

    Jenerali anaogopwa sana mazee hasa na waandishi ambao humu ni wengi, hivyo nextime uwe mwangalifu usimguseguse!
  13. K

    Ulimwengu aliponzwa na kujitapa Utustsi!!

    Mimi pia ninewahi kusikia kuwa Jenerali kweli alikuja TZ na wazazi wake akiwa mdogo, ila hayo malengo yake labda wakuu wa JF watufunulie.
  14. K

    Viongozi wa Dini na Hatma ya Tanzania

    Mkuu nimekupata! Dini zenyewe hizi tumeletewa tu na watu weupe, na tumechukua kila kitu kilichomo tukaziacha dini zetu na hata yale mazuri ambayo ilikuwa nazo. Kwamfano; -tulikuwa hatuvai nguo lakini tuliheshimiana bila kubakana hata kama tumekunywa pombe zetu za asili! lakini wakaja weupe...
Back
Top Bottom