Mmh kwanza nahitaji kujua uyu komba ameifanyia nn nchi hii?maana hapa TBC wanarusha kipndi cha kuagwa uyu komba hii ni television ya taifa na cyo ya ccm how wanampa uyu komba air time iv...na hapo kuna pesa zetu za walipa Kodi zinatumika kuendesha hii shughuli..mbona wanakufa mawaziri ila...
Pia kwa cc wanawake tuamin kuwa kila MTU aliyeumbwa ana mvuto na upekee wake ivo ivo ulivyo ujue kuna MTU ambae halali kwa ajili yako da same apply kwa wanaume..tusiharibu na kuchezea mahekalu ya mungu kisa kumplz mwanaume au mwanamke uliyeandalia atakuja tu na atafurah kwa jins ulivyo ....eeh...
Nimependa sana maneno yako mazur mno ila nina swal nan anaeharibu akili za wasichana Hawa?ni nyie wanaume yan mmekuwa too much selective mahitaji yenu ni makubwa mno...ukianza swala LA mahips makalio makubwa na ayo mengine aliyoeleza Dada nyie ndo mnahitaj hayo ivo mnamfanya MTU afanye ili...
Iyo biashara cyo nzur kabsa kwanza inaharibu akil za watu hasa cc wakike watu wanaacha kufanya vtu vya mcngi wanastik kwenye forever na iyo biashara ni ngumu as wateja weng ni wale wenye pesa tu
Huwa siwaelewi nyie mnaosema hamjui kupika kwanza mnawaaibisha mama zenu wanaonekena wamefail kutimiza moja ya majukumu yao kama mama LA kutomfundisha bint kupika....na nikickia MTU Wa ivo huwa nahis uwezo Wa darasan mmmh
Kama ni mwanamke Wa kitanzania au afrika kupika ni swala LA msingi sana .nn sifa ya mama katika familia kama hujui hata kupika?utakuwa na mtoto mdogo akianza kula utamlisha nn?au atakuwa anapikiwa na Dada Wa kazi?unazan atapka vzur? Nilichojifunza katika maisha wasichana wengi wanazan wakisema...
Ni kwel ila pia Mungu huwa anatupa tunachoomba kila mtu huwa anavgezo vya mtu kila anempenda ndiyo maana u aweza kuona we hakufai ila akamfaa mwenzio ila na pia kazi ni muhimu, kwani mtu ambae yupo idle ni rahisi kufanya vitu ambavyo ni vya ajabu.
Kila MTU mungu anajua alipompangia akutane na mwenza wake.. Wengine bar safarin harucn na sehem yoyote ambayo inamkusanyiko Wa watu...na kama ndo chaguo la mungu kwako bac ujue hakuwez kuwa na shida yoyote ivo mwenza anapatkanq popote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.