gumu sana. ni dhambi isiyosameheka. Mungu alipoweka uzinzi kama chanzo cha talaka alijua mwenyewe jinsi moyo wa binadamu ulivo kwenye kusamehe hiyo takataka
kabisa. nakubaliana na wewe. wengi wao hapa wanaolalama ni sawa na hao unaowasema. wanakuja na kuleta amri zao kwenye nyumba za watu, wakionywa au kuwekwa sawa kuwa ishi maisha uliyoyakuta sehemu wanaona manyanyaso, muwe na shukrani msipende kupeleka sheria zenu kwa watu na hiyo mitizamo yenu...
Ulaaniwe wewe unaependa michepuko na ukifika huko ili uwekwe moyoni,unamsengenya na kumkandia mkeo/mumeo au partner wako nimecheka.
Hii nimeikuta sehemu" rafiki siwezi kukwambia mumeo anacheat au la, lakini mi bwanawangu alikua na hiyo tabia ya kunisimulia kasoro za mpenzi wake wa zamani.
Yani...
ndio hamna, huyo mwanaume mshenzi hajiheshimu. unakuta mtu tu kituo cha basi na kijifanya anajirafikisha kiajabu. natamani sheria ya wazinzi kupigwa mawe ingekuwepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.