wewe kama hujui kitu bora usijibu watu ambao wako serious wanahitaji kujua,NHIF ndio kwanza wanafungua applications na wanategea kuanza kuita kwa interview february na wala pale huwa hakuna rushwa kama unavyoongea.
wewe achana na izo kampuni zinazotaka utoe hela,tusikilize sisi tulioingia mkenge long time,nilishakutana na icho kitu nikatuma pesa wakanipa online exams nikafanya wakanipa pass mark za juu kishenzi hata mi najua sikufaulu vile baada ya hapo coz nilikuwa nimeshawapa pesa sikusikia chochote...
Jamani hawa watu hata mi wamenitumia email but nimepiga namba yao wamesema sio lazima kutoa hiyo ela kama una mahali pakufikia,ila kwanini hawana website?atlist ingesaidia kuwasoma vizuri,sijui nifanyeje.wewe mdau unaenda au vipi?nimemwomba bro wangu yupo mtwara anitafutie kama hiyo kapmuni ipo...
Jamani wanandugu mimi naomba tu sala zenu niweze kupata kazi ninayoiota kila sila siku,huwa nasali kila siku ila nikijumuisha na maombi yenu nitapokea baraka nyingi zaidi na nitaitwa kazini mapema.Asanteni
Jamani hawa ni kiboko lakini tapeli ni tapeli tu duh,,,,,eti mpesa,tigo pesa tangia lini?hata mimi hiyo fomu yao nimeshtuka hiyo ela na jinsi yakulipa mtu ulipe bila hata yakumjua mtu unaempa hiyo pesa nyooooo,,,,,,,hakitoki kitu hapa.yaani nimegoogle hiyo website yao haifunguki haipo kiufupi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.