Hii ndio tanzania na hawa ndio viongoz we2 nchi hii inaendeshwa kidikteta na kuvi2mia vyombo vya ulinz na usalama kwa manufaa yao binafs kuendelea kukilinda chama!!mbona aliyetuma ujumbe kwenye cm kuwa atambambia kesi anayotaka wala hashughulikiwi?ee mwokoz njoo utuokoe watu wa tanzania tunaangamia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.