WATAALAM MSIKUBALI KUPAKWA MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA
Taasisi kubwa ya elimu kama Chuo kikuu inapomtunuku cheti cha PHD mtu ambaye hastahili kwasababu tu ni #Kiongozi au #mwanasiasa na anaweza kuwasaidia personally wataalam husika (waliompa cheti kwa hisani) mbeleni ni hatari sana kwa afya ya...
Ndugu wanajamvi;
Tanzania Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi October 2015 mijadala mingi ya kupendekeza na kubashiri kiongozi mkuu wa nchi (Rais) imejikita kwenye chama kimoja tu ambacho ni chama tawala CCM.
Mijadala hii inaongozwa na kuchangiwa na watu wa pande zote yaani wapinzani na watu...
Chama kilichowahi kupata umaarufu mkubwa miaka ya 2010 - 2012 ambacho bada ya kufukuza na wasomi wote kwa sasa uendeshwaji wake unafananishwa na ueshaji wa kampuni binafsi au saccoss (CHADEMA) leo kimepata pigo baada ya Muhamasishaji wake maarufu na mtunzi wa nyimbo maarufu ya Slaa anaweza na...
Nafasi ya kwenda ulaya (ujerumani)ilikuwa ni ya mwenyekiti wa bavicha ndugu Heche ila kutokana na heche kutokujua lugha ya kiingereza vizuri ndio sababu ya patrobas kutumwa badala yake. Sioni kama hii ni sababu ya msingi ya kumuona ktu eti ni genious na anafaa kuiongoza bavicha kwasababu ya...
Inawezekana kabisa unalolisema likatokea kwani mara nyingi chadema hakuna uchaguzi bali kuna uteuzi. Tunafahamu kwamba Patrobas ni chaguo la Heche na ndiye anayezunguka naye hata sasa kwenye kampeni ya heche kumchafua Waitara huko mara. Kigezo kikuu cha Heche kumkubali Patrobas ni pale alipoenda...
Hivi hao wazee wa kuchongwa waliohongwa na kigaila kumchukulia mbowe fomu ndio wazuwie watu wengine kugombea. Mbona chadema tunakuwa mbumbumbu kiasi hiki ? Kila mwanachama mwenye sifa anahaki ya kugombea bila kujali nani kachukuliwa fomu na nani.
Tusipende kukurupuka tu kwa ushabiki, kwani wapi heche kasemwa vibaya? Kilichoelezwa ni ukweli tu kwamba alowakilishwa na patrobas ujerumani sasa unachokisema zaidi ya bavicha ni kitu gani?
Acha umbumbumbu issue ya mchange nimeizungumzia nilipokuwa najibu hoja ya mtu aliyesema diallo ni mwanamabadiliko. We vipi wapi nimemuhusisha mchange na patrobas kwenye post yangu ? Ni vema ukalielewa jambo kabla ya kukurupuka kuchangia.
Amlipaye mpiga zumari ndio huchagua wimbo. Kumbuka wikinmbili zilizopita ni kampuni hii iliyompa Habib Mchange muda wa kutosha katika press conference yake ya kuichafua chadema kwa kuihusisha na mauaji yote ya utata yaliyowahinkutokea Nchininkwetu. Huenda kweli unayosema kuhusu diallo kuwa...
Kaka usipotoshe watu huyu jamaa ni shushu tu, kafanya nini kwenye huo uanasheria wake wa kanda ya ziwa? Hivi unaweza ukawa mgombea wa chadema halafu sapoti uipate kwa mwenyekiti wa ccm bado ujiite mpinzani ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.