pouwa,
1. we unshilingi ngapi(chanzo chako).
2. ushawahi kufanya iyo biashara au wataka kufanya try?
3. ushafanya "market search" ya maitaji ya iyo biashara yako?
4. etc. itakusaaidia sana
Note; advice you; jaribu kuvifanyia kazi iyvo. kabla ujapewa uo mkopo...
wazee kilimo kizuri sana, kwa kuanzia kupata mtaji coz ukima mahind 3-4months unavuna so kama umelima acre nyingi na mungu akakunyoshea mkono, maisha unatoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.