<br />
<br />
Hili swali nilijiuliza saana na sikuwa na jibu. Kama rais wa nchi analalamikia chama cha ypinzani bila kuchukua hatua, hii ina maana gani? Au ni kuwa sasa ameshakosa mamlaka na anajishtaki kwa wananchi kuwa mamlaka yake yamechukuliwa na chadema? Sijui yeye anajionaje ktk jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.