Wakubwa zangu, nawasalimuni nyoote.
Naomba yeyote wa kunisaidia, Dada yangu amesomea ADO (TFDA), na anatamani kufanya kazi Dar ya kuuza dawa katika Duka la Madawa. Anauzoefu wa miaka miwili ya kazi hiyo na hata sasa yuko katika ajira hiyo mkoani.
Tafadhali, naomba mnisaidie.
Mwanajamvi
Usijali, kila mtu hupita hatua fulani za maendeleo, na kila hatua yamkini kuna vikwazo vinavyoterajiwa au visivyoterajiwa. Muhimu ni kutafuta njia halali kushinda vikwazo.
Nashukuru kwa kunielewa,kati ya vikundi tuliopewa kazi hizo wapo pia vikundi wenzetu wenye tatizo kama letu la uhitaji wa kitendea kazi kama hicho. Kwa hiyo, tumeshawahi zungumza nao kwa maana ya wao kuwa wateja kwa kukodi kutoka kwetu kama tutakuwa nalo.
Na kwa hesabu ya pamoja, tukaona na...
Asante kwa ushauri, lakini mi nimemaanisha katika ombi langu kuwa naomba. Na nina imani yupo mmoja kama si wengi wenye kushikwa na Mungu katika hili. Hivyo usichoke na usikate tamaa katika kutafuta namna ya kunisaidia, bila kujali nafanya biashara au la !!!
Yamkini tukifanikiwa katika...
Naomba kupewa gari na sio kununua. Na sio kuwa labda kuwe na makubaliano ya kurudishia mhusika pesa hapana. Naomba kupewa gari bure kwa maana ya kusaidiwa.
Chama chetu kimesajiliwa. Tupo watano.
Kazi tulopewa ni kuzoa dampo zilizokuwepo kupeleka dampo kuu yapata kilomita tano nje ya mji. kazi ya pili ni kuzoa taka toka kwenye kaya za eneo tulokabidhiwa. Na tunakusanya ushuru, lakini ushuru ule haukidhi kurudisha gharama za mafuta, kukodi gari...
Mpendwa mwana JF,
Ninaomba msaada toka mtu yeyote au taasisi yoyote wa kununuliwa gari (tipa) lenye uwezo wa kuanzia tani saba na kuendelea liwe linaweza kubinua. Nimekusanya vijana Wilayani Mpanda mkoa wa Katavi, na kuunda kikosi kazi kinaitwa WASAFI HOME CLEANERS, tumepewa kazi na...
Habari ndugu pole na tumbo. Nakushauri kama bado wasumbiliwa tumia Antidiarr, itakusaidia sana na hata kwa wale wenye matatizo ya muda mrefu, wakitumia dawa hii nawahahikishia hakuna taabu tena. Nimewapa wengi na wamerudisha majibu ya ufumbuzi wa matatizo yao. Unaweza ni PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.