Yaani lara1 unaongea point sanaaaaaa jamii yetu ina stigma ya ajabu na ndo inawafanya watu wanateseka kwenye ndoa kisa akikaa mwenyewe jamii inamuona hayuko sawa hii si sawa
mi najiulizaga swali hilo kila mara nikiwasikiliza hawa viongozi wetu wakiongea sijui labda tunaishi tanzania mbili tofauti wenzetu haya yanayotukuta sie hayawakuti wao
sasa kwanini usiongee na hiyo robo tatu ya familia yako uwaambie warudi waache kuuza mikate mitaani kuna wauza mikate wangapi tz mbona hushughuliki nao kama kweli unawaonea huruma watu wanaopata tabu na maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.