Nimefurahi kuona hii mada,
mi nimenunua Mabati ya DRAGON ila sijachukua kiwandani, nimelipa pesab tu na nililipa bila kufanya utafiti najaribu kupata ukweli lakini bado , kwa anaejua naomba anijize maana mapigo ya moyo yanabadilika kila nikiwaza Mabati
wakati wa mbalamwezi usiku mnakaa chini ya mwembe mkisubiri maembe yadondoke baada ya popo kutingisha akitaka kulala,, likidondoka ni kugombaniana acha kabisa!!
Poleni sana,, nilikuwa sitaki kuamini lakini nimeamini kwa sababu jana kuna taasisi fulani ya elimu tunaidai kama ofisi, lakini nilichoambiwa na Bursal ni kwamba wanachuo bado hawajaanza kulipa ada wakati siyo kawaida yao, wanasubiri elimu bure ya EL
kwa mantiki hiyo sasa naamini kuwa huenda ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.