Slaa amekuwa sooo selfish ni mbayaaa sanaaa, aangalie masilahi ya chama kwanza.
Hata hivyo mwenyekiti Mbowe au mwenyekiti yoyote yule ni ngumuuuu kumridhishaa kila mtu.
Wengi wape bwana.
Mbona yeye aliacha upadri akapokelewa uraiani, asituzenguwe bwana.
Sidhani kama Lowassa ni mjingaa kiasi hicho kuhamia chadema. CCM watamshughulikiaaaa balaaa wakimpelekea TRA, watakata matumizi yake yoteeee ya uwaziri mkuu, matibabu yk ya Germany siyo mchezo kilaaaa kituu analipiwa na serikali. Sidhani anaweza to risk that much siyo mwehuuu Lowassa
Siyo kwelii jamaniii haiwezekani wapate mishahara hiyo, wakati mapato ya nchi zao hayafikii hizo pesa kwa mwezi ni uongoooo kabisaaa. Nchi za Africa haziweziii kabisaa kulipa hiyo mishahara. Wangepata hiyo mishahara wasingekazanaaa kuiba.
Siyo kweliii nchi za Africa hazina pesa
Mimi naona ni ngumuuuu sanaaa kumkata Lowassa, hata kama hafaiiii, watamuwekaa tuu hawana jinsi, hali ni ngumuuu, mliona jana walivyomshangiliaaaa bungeni hatariiii. Tuombeniii sanaaa wapendwa.
Hongera sana Bade, Mwenyezi Mungu akusaidie upige kazi vizuriii.
Rushwa ni adui wa haki. Angalia rushwa na kodi za aina zotee
Mafanikiooo mema sanaa
Mtoto wa mkulima..
Pole sana ila kumbuka kuna wakati hawa madakitri wetu wanaweza wakakwambia kitu ukadhani ni kweli kumbe hakuna loloteeeeeeeee, ungekuwa na pesa panda ndege mpeleke baba yako India... kwa uangalizi zaidi, hapa watu wanadesa sana kwenye mitihani na wanafanya makosa kibaoo makazini. Nawajuwa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.