nadhani hoja aliyotoa Pundit ni ya muhimu....kwamba mbali na vijikosa vya grammar kama ilivyoonyeshwa kwenye ujumbe tunaouongelea[ambavyo vinaweza kuvumilika]kuna suala la kuchafua ujumbe kwa kutumia neno 'excitement'pasipostahili. sidhani kwamba kikwete angeulizwa swali hilo kwa kiswahili...
joseph, mbona unatumia jazba saaaana kwenye jambo la maoni tu? suala la wewe kunitajia jina lako (nilikuwa silihitaji) haionyeshi ushujaa wako. kama unadhani una mchango mkubwa na wa maana zaidi kwa nini unatumia muda mwingi kumng'ang'ania mtu mwoga ataje majina ya mafisadi? busara haitoshi tu...
nakubaliana na mtazamo wako, hasa sehemu ya kumuunga butiku mkono aendelee kupiga tarumbeta. hii sehemu ya kutaja majina kwa sababu za kiusalama itamfikisha ambako labda hajajiandaa kufika. nadhani mbali ya kuwabwekea mafisadi walioko ofisini hajasahau nguvu waliyonayo juu ya vyombo vya sheria...
butiku asizuiwe kusema anachosema, kama sisi wote tusivyozuiwa kusema tunajojua juu yake. kwa mfano, asingejitokeza na kusema haya ya ufisadi-suruali wake na ya kujibinafsishia mali za umma tungeyasikiaje? wajitokeze wengine kama yeye ili hatimaye wengi zaidi wa namna yake waanikwe juani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.