:nono:Mtama, nashindwa kuhukumu uliyoyasema lakini nashawishika kupinga na hii nikutokana na various psychological research amabazo zinatambua kwamba mwnadamu ana tabia nyingi lakini ktk hizo anabadilika na hii nikwakutegemea umetumia njia zipi na kwa muda gani!
kumbadilisha mtu ni taaluma...
Dada,fikiria kabla hujaamua kuja, maisha ya bongo nimazuri kuliko unvyofikiri! labda jamaa nimuumini ktk Financial Disciplin, kweli pesa ya hapa utaipata lakini kimatumizi itakwisha haraka tuu, pia ungelikuja umuone na maisha anayoishi maana unaweza fikiri utakapokuwa hapa utakuwa na muda wakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.