hivi hawa vijana kwa nini wasitumie elimu zao katika kulisaidia taifa letu badala yake ni kujipendekeza tu kila uchao Hawa in watu wa kuogopwa kwa sabb hawana mapenzi mema na taifa ila no kwa ajili ya matumbo yao muwe na aibu, vijana mujitaidi kuficha ujinga wenu wa kujipendekeza, Mara ooh chama...
Kwanza tujikite kwenye dhana ya demokrasia kwamba ni neno la kilatin demos lilitafsiriwa kuwa ni utawala wa watu, Abraham likolin yeye akatafsir kuwa demokrasia ni utawala wa watu uliowekwa na watu kwa ajili ya watu.
Kwa namna nyingine watu wanaiweka serikali madarakani kwa utaratibu...
washuke tu mitaji hakuna namna japo kundi kubwa halikubali kuwa hali ya kiuchumi si nzuri kwa hiyo washuke tu tena nashangaa wanashuka slow sana nahisi kua wanapika taarifa itakua wame drop sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.