Recent content by habby

  1. H

    msaada wadau nahitaji laine ya tigo pesa

    nnashida na line ya tigo pesa muongozo please
  2. H

    Msaada: Kwa anae wajua hawa button pay

    0656259527 check na hiyo namba jamaa ni sales man wao atakupa simu na printer yake na maelekezo mengine mimi nisachukua naanza mzigo kesho.
  3. H

    Msaada: Kwa anae wajua hawa button pay

    poa mkuu hawa jamaa hawana milolongo sana nitkupa namba zao una nunua simu yao ina os ya android ambayo inakuwezesha kutumia software yao ya button pay kwa urahisi simu hiyo ana kuunganishwa itaku cost laki 3 na nusu. zenu unaweka mtaji unaotaka mwenyewe unaanza mzigo.
  4. H

    Msaada: Kwa anae wajua hawa button pay

    wadau naomba msaada wenu kuna hawa jamaa wa button pay wanatoa huduma za uwakala wa luku star times na vocha za kurusha na modem topup mitandao yote je kamishen zao zimekaaje na vp uhakika wao katika network
  5. H

    hii kaz ya uandish ndo maana cipendi...

    duh mkulima angekuwa na mweusi mwandishi angeomba poo
  6. H

    msaada who is compliance executive in relation to accounting

    natanguliza shukuran naomba kwa anae jua huwa anafanya kaz zipi kwenye company wwote
  7. H

    naogopa sana,..naomba msaada wakuu

    Mh ok that wil b 7 year to com.
  8. H

    Maumivu ya nafsi oooooh msaada plz

    kaka pole angalia future kashajifunza uyoo
  9. H

    naogopa sana,..naomba msaada wakuu

    Mh thanx .alamsik
  10. H

    naogopa sana,..naomba msaada wakuu

    Asante kaka, nje niko poa confidenc ila ndan najua am scared na maugomvi ya ndoa. Japo najua cyo lazma nasisi yanikute
  11. H

    naogopa sana,..naomba msaada wakuu

    thanx guyz ur arguement zenu zina nifungua naanza kujua chakufanya
  12. H

    naogopa sana,..naomba msaada wakuu

    Thanx much. Umenifunga to some extent
  13. H

    naogopa sana,..naomba msaada wakuu

    thanx ver much guyz nimefunguka vibaya sana now i knw siko tayari. Sio ili nifanye uzinifu laa bali nimpe muda bcoz all da time gals are ready for marriage
  14. H

    naogopa sana,..naomba msaada wakuu

    Yaan hata yeye anaweza kama mimi naona pesa yangu haitoshi. Nyumba nimepewa ndogo ya couples
  15. H

    Uhandsome bwana sio Tabia!!

    huyo dada ni mshamba tena alie bobea, atapigwa na kuachwa watoto hatapata. Kila handsome atamuona mume
Back
Top Bottom