poa mkuu hawa jamaa hawana milolongo sana nitkupa namba zao una nunua simu yao ina os ya android ambayo inakuwezesha kutumia software yao ya button pay kwa urahisi simu hiyo ana kuunganishwa itaku cost laki 3 na nusu. zenu unaweka mtaji unaotaka mwenyewe unaanza mzigo.
wadau naomba msaada wenu kuna hawa jamaa wa button pay wanatoa huduma za uwakala wa luku star times na vocha za kurusha na modem topup mitandao yote je kamishen zao zimekaaje na vp uhakika wao katika network
thanx ver much guyz nimefunguka vibaya sana now i knw siko tayari. Sio ili nifanye uzinifu laa bali nimpe muda bcoz all da time gals are ready for marriage
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.