Sababu ametupigania sana lakini tumemlipa nini? tumemlipa risasi? sisi kama wananchi aliotupigania tulimlipa nini? kiukweli hatukumtendea haki huyu jamaa
Najua hutanielewa, but Lisu kawafanyia watanzania kazi kubwa tena kabla hata hajawa na hayo madaraka ya ubunge, ila uzelendo wake kwa Tanzania...
Still nasimama na Lisu sababu hatukumstahili huyu jamaa, na hatujamtendea haki kama wananchi wa TZ, mwache awe anavyotaka shida ikowapi? Ulitaka afe njaa na elimu anayo? Ni wakati wa elimu yke kumsaidia yeye na familia yake na sio sisi tusio na shukrani tuliojawa na unafki!
So yaani MUNGU apewe vibaya na shetani ndo apewe vizuri?...
Yaan MUNGU apewe nyimbo za hovyo, zisizosikika vizuri alafu shetani apewe melody nzuri?
MUNGU ana wivu pia so anahitaji tumwimbie vizuri na tumchezee pia!
Daudi alimchezea MUNGU hadi nguo zikamvuka unajua alicheza kwa viwango gani...
Ukisoma thread zake utagundua ana kitu cha tofauti sana! Inawezekana haongei ukweli ila why iwe dhambi mtu kijiita tajiri na sio masikini? Why umasikini ndo uwe sifa na sio utajiri!?
Anaongeaga mengi bt ktk thread zake zote msg ni moja tu! Utajiri ni mzuri kuliko umasikini!
Yaan nimecheka kwanguvu toka mwanzo wa thread mpaka mwisho! Kila mtu kwenye daladala kanimind aisee!!
Btw umefanya asubuhi yng kuwa njema sana! Nashukuru kiongozi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
@kasie kama you like the guy kwann usikilize maneno ya watu wengine?
Nashindwaga elewa why watu wanasikiliza maoni ya wengine! Me nimpaka nimshindwe mwenyewe na sio kwa maneno ya watu!
Lazima sometimes tuongee ukweli! Ulichoongea ni stori ya ukweli na ila ina uongo ndani yake!
Ni kweli kuna mwanafunzi alimuita fisadi but Makamba alipiga mkwara kwamba akiondoka hataki sikia kuna mwanafunzi kapigwa viboko au kuadhibiwa kwa namna yoyote ile sababu ya yeye kuitwa fisadi
Ilikuwa ni...
Unafail sana kumfananisha MUNGU na magufuli, MUNGU anasema anatafuta mmoja mwenye haki ainue taifa just imagine mmoja tu ainue taifa, yeye magufuli alikataliwa sawa but alipata kura ngapi hapo Mbeya mjini? Siku zingine usimfananishe MUNGU na vitu vya ajabu
Huyu kurudi ni haki yake maana kwao sio maskini, anaweza asifanye kazi na akala, akavaa na kuendesha maisha yake kwa anasa, baba yake ni mchungaji ndo anayemiliki kituo cha tv cha ATN, mama naye ni mchungaji + wafanya biashara sasa kuna umaskini hapo kwao?
Aisee nimeisoma Thread yote kuja kwenye post za members ndo nikajua kuwa huwa hujibu PMs, niwie radhi kwa PM yangu please count me in on this one! nahitaji kufahamu kwa undani hii biashara na kuifanya pia! natanguliza shukrani zangu za dhati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.