Hiv kwel watu mnapoteza muda kufikiria kuwa makamba january anawezA kuwa rais wa nchii hii. Jifunzen kwa babake,alikuwa mtu mzur,lkn alipolewa madaraka akawa mjinga na kukigawa chama...jamani kama baba alivyondivyo atavyokua mtoto
Nyota njema huonekana tangia asbh. Kama mtu akitaka kujua yapo matumaini,basi amwangalie mwigulu pia. Ningependa sana nichukue nafasi kuwashauri CCM,ni watu wawili tu wenye uwezo wa kuisaidia nchi kwa sasa..ni lowasa na mwigulu.big up mwigulu
Comrade Mwigulu licha ya kujulikana TZ nzima,lkn hakua katika fikra za wengi kuwa anaweza akafaa kuwa rais Wa TZ by 2015. Lkn tangia alipochaguliwa kama naibu waziri wizara ya fedha...utendaji wake Wa kiharakati,uchungu kwa masikini na uzalendo vimemuweka pazuri Sana kwa nafasi ya uraisi na...
Jamani kumbukeni mwigulu ndio kwanza naibu waziri...ni vigumu sana yeye kuingilia kati mfumo na kuuharibu na yeye akabaki salama. Ila kwa nafasi yake alichoweza kufanya amefanya na anafanya. Na ndio maana anaomba apewe ridhaa ya madaraka mapana zaidi....aungwe mkono na atiwe moyo
Ndio tatizo letu watanzania,hivi mnadhani Mungu atamshusha malaika kuja kuwasaidia?sasa,unafiki wa mwigulu uko wapi?je si kweli tatizo kubwa la uchumi wetu ni kukusanya kodi ipasavyo na kudhibiti matumizi?Mwigulu ni kijana safi aliyebeba matumaini ya watz.
Wewe kama umekata tamaa pole
Ngereja hapana kabisa,labda sema wewe unamtaka ngereja..urais wa 2015 ni kwa watu wenye uwezo wa utendaji na kuleta tija...binafsi sidhani kama yupo kijana mwingine zaid ya comrade Mwigulu Nchemba,naibu waziri wa fedha....hili ni jembe yaani
Jamani tuwe wakweli,hivi kwa so far waliojitokeza kuonyesha nia ya kuwania urais CCM ni kijana gani anamzidi comrade Mwigulu Nchemba?Binafsi nampenda kwa jinsi anavyoyatazama mambo haswa katika nafasi yake hii ya unaibu waziri wa fedha..Mabadiliko ni matendo na nchi hii inahitaji watendaji na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.