Njaa zitatuua. Lazima atetee mkate wake. Kuna vita ya madaraka. Enzi za awamu ya kwanza na ya pili viongozi hawakufaidi sana kama sasa hivi, hata ungalikuwa wewe kipindi hiki hayo ungeliyafanya maana kiongozi ni bora kuliko walalahoi wake. Ukitekeleza yale yanayostahili kesho utakula nini? Mfumo...
Tatizo si Kafulila ni siasa za Tz hazina mwelekeo. Wanasiasa wengi ni kutafuta ujiko wawe juu ya sheria. wamejaa uongo, uzandiki, porojo wakiwa na matumaini makubwa sana. Wote Zitto na Kafulila hawastahili kuwa wanasiasa wangefukuzwa wote.
Kuanzishwe mjadala wa kitaifa hao viongozi wanaogopa nini?
kuna siri gani kama tunataka demokrasia ya kweli?
Basi tuamue kwa misingi ya sheria. Siri inayofichika ambao wengi hawaijui ni kwamba mwuungano wa Tanganyika na Zanzibar ulikuwa wa vyama viwili vya siasa TANU na ASP.
Na ahadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.