Habari wakuu mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha nne nimesoma certificate ya community health worker katika chuo cha St Augustine Muheza Tanga .
Nashida ya kazi wakuu Mshahara ni maelewano mimi na anayenipa kazi ..asante namba yangu ni 0743783408/0624067585 mi nipo dar
Habari zenu wakubwa
natafuta ni sehemu gani wanakodisha mashamba kwa mwaka nataka nianze na kilimo cha vitunguuu maji na matikiti,na mpunga nataka nianze na kama heka tatu ivi..sijui ni sehemu gani wanakodisha na sehemu haya mazao yanaweza yateweza niingizia kipto nikiyapanda....na bajeti ya...
je wakuu baadaa ya muda gani mbwa huyu atashika mimba maana kazaa trhe kumi na 18 mwezi huu mpka mida gani atashika mimba na kupandikiza ni inakuaje mbaya au sio mbaya na ni shilling ngpi kupandikiza kwa sindano awahi kushika mimba au kama ni mbaya awahi kuwa kwnye hit nifanyaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.