Naomba kuwasilisha:
Je,kuna tatizo lolote la kiufundi katika app ya M-PESA mteja akitaka kununua KING'AMUZI cha AZAM.
Maana nimejaribu mara kadhaa hapa napata alert ya "Kwa sasa sitoweza kukunua kifurushi maana kuna hitilafu.
Naomba ufafanuzi katika enyi Vodacom.
Ahsante.
Kwa sasa ningekushauri upotezee ishu za madem maana hawatokuwa na chochote cha kuongezea zaidi ya kumaliza hata kidogo ulicho nacho na kuzidisha stress.
Pili Kwa uzoefu uliopata wa mambo ya simu tafuta pahala pa kujishikiza Kwa fundi yoyote wa simu au hata hapo kitaa au chuo chochote kile cha...
Niliweka maji kwenye jiko la gesi,Ka sufuria kadogo...nikajisahau nikaenda chuo kutokea Kimara....Niko Chuo nikashtuka sikuzima gesi....dooh nilitoka baru kama kichaa...chukua bodaboda na kupigia jirani nafika home maji yote yemekauka sufuria ndo ilikuwa inapigwa Moto sasa.Daah ilikuwa hatare na...
Umejibu hoja nzito Kwa maelezo mepesi Sana.Hebu tupe uthibitisho wa uchumi wa US kuwa mkubwa mare 20 ya Russia.Na vipi pia kuunganisha Russia,China na India bado kushindwa kufikia uchumi wa US...proof yako ni ipi hapa.
Pia hoja yako ya Dola kuto yumba naona haina mashiko Sana,maana kutoyumba...
It is so sad for topics like this to have few commenters and even none.......... nevertheless,I commend you for sharing this,it such an eye opener article and, got myself thinking and, pondering how some of human are so evil and selfish....dunia inaenda Kasi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.