Nafikiri hapa sio uduma, hapa ni kitu unacho promote ni tofauti na kile unachokwenda kumkabidhi mteja quality ya service and trust natoa mfano halisia wangu,
Tulikubaliana malipo ya web design kwa Tsh250,000/= kisha nikatoa advance ukasajili web yangu kwa Tsh90,000/= unlimited na sharti ni kua...
Angalia nisije weka details zote hapa nikazidi kukuchafua....sawa mimi ni mmojawao niliokufahamu pitia hapa JF na kukupa kazi na baada ya malipo tuu mauzi yalipoanzia hapo tena bora hii bei ya sasa Mwanzoni ilikua 250,000/= .... bahati mbaya nipo mbali ila hela yangu siku itarudi tuu.
Ni mtu ambaye sio mwaminifu amini hivyo nilishampa kazi ya web na nilimlipa lakini kazi akunifanyia ila alichoniweza ni kuomba malipo yake haraka wakati akijua ni nini anachokusudia.
*WHEN TO BE SILENT*
1. Be silent - in the heat of anger.
2. Be silent - when you don't have all the facts.
3. Be silent - when you haven't verified the story.
4. Be silent - if your words will offend a weaker Person.
5. Be silent - when it is time to listen.
6. Be silent - when you are...
Kodi, P.A.Y.E, Nyumba, Maji, Umeme, Ada za Shule kwa watoto na chakula. Kodi nyingine za ovyo ovyo Kama Mpesa, Simu, Bank, Nauli na mengineyo ni kuongezeka kwa bei za bidhaa kwa mlaji bado kwa mstaafu or mfanyakazi mwenye Nyumba na Kiwanja inabidi alipia hati ya Kiwanja na Nyumba( property tax)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.