Tsh. 36m haizidi $17k kwa mwezi, ni mshahara wa kawaida sana kwa Mkuu wa Shirika ambaye ufanisi wake haufichiki.
Kulipa wafanyakazi vizuri ni njia mojawapo ya kuzuia tamaa za wizi, sioni tatizo na Mshahara wa Tsh. 36m.
Part Time Employment ? Operations Executive
A small family owned enterprise is looking for an operations executive to run their day to day activities in Kibaha, Pwani.
The candidate should preferably be a graduate or a holder of a diploma or certificate with a quick thinking mentality and...
Langa Kileo (msanii wa Hip Hop Tanzania, pichani) amefariki dunia leo hii.
Langa alipelekwa hospitali akiwa hajitambui. Anadaiwa kuwa alikumbwa na Malaria kali sana, Hali iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya Muhimbili jana.
Uchunguzi wa chanzo cha kifo chake bado unaendelea.
Msanii Langa...
Watanzania ni wajinga ndio na pia tuna viongozi wajinga, hii hali haijaanza leo na wala haitaisha leo, kuna mianya ambayo wanaitumia hawa wageni ambayo huwezi kuziba. Watanzania nao waende nje kuchukua kazi, thats exactly what I am doing.
Mwelekeo wa topic za siasa humu JF ni katika upeku peku, upashkuna, uongo, unafiki, wivu, kejeli, na mipasho, nad mwelekeo huu unaboa (unaniboa).
Nothing great in the posts that are currently mushrooming, nothing a person can benefit from reading all these ridiculous posts about zitto et al.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.