Unafahamu kuna uhuru wa kuabudu?
tatizo lako na mkeo usilete huku Kama umeshindwa kuongoza nyumba yako.
mke wako ni mchafu wa kawaida usisingizie makanisa ya kilokole
pole sana na mkeo huyo usiwapangie wengine nyumba zao
ahaaaaaa yakushinde mwenyewe
Hakuna sababu ya wewe kuwaeleza ukweli huo, hayo uliyoyafanya yalikuwa zamani ila sasa una NDOA yako. Usiharibu uhusiano wa wifi yako na mchumba wake maana mume wako akfahamu atakuwa na hasira kwanza kwa mkewe kutembea na huyo mchumba wa dada yake na pili dada yake tena kuolewa na jamaa huyo...
Tatizo alilonalo dada yako ni la kisaikolojia na pia ni la kiroho. Ushauri wangu kwake atafute mshauri wa ndoa (Marriage Counseler). Katika Ndoa yake kuna uwezekano mkubwa wa kuwepo kwa majini Mahaba ambayo yana tabia ya namna hiyo ili waendelee kuteseka na mwishowe Ndoa kuvunjika. Katika Ndoa...
Kwa ushauri wangu hiyo ndoa ina tatizo la kisaikolojia na kiroho ndiyo kwenye mzizi wa tatizo. Dada yako anatakiwa kuonana na Counselor apate ile kitu inaitwa Marriage Couseling. Anaweza kuwasiliana na Counselor mwenye namba hii 071513686. Asante sana
Nimefuatiia kipima joto tangu mwanzo hadi mwisho. Nilichogundua ni kwamba Job Ndungai ana uwezo mdogo sana kushika nafasi ya kiti cha Spika. Kwanza ana hasira za haraka, pili anajiona duni mbele ya watu wenye uwezo kama Tundu Lissu. Kifupi tunahitaji watu Jasiri na wenye kuona mbali kama Tundu...
Ingia kwenye Google andika unachohitaji kama what is freemason utapata jibu. maana ni mengi mno tutapata shida kukueleza hapa na tunaweza kujaza kurasa bure. Naamini umeeleewa?
Biblia inasema katika Isaya 52:11-12 kwamba hamtatoka kwa haraka wala kwa kukimbia. Ushauri wangu kwako usifanye haraka sana kutoa maamuzi tulia kwanza halafu baadaye utafahamu wapi wewe ulipokosea pia hadi atoke nje. Rekebisha Hilo eneo na ndipo umrudie mkeo maana amejifunza vya kutosha kwenda...
Mungu usamehe makosa ya mtu. Hata kama umefanya dhambi kiasi gani unapoenda kwake kwa toba ya kweli ufuta dhambi zako. Mwingira kama ametubu na aendelei na mchezo mchafu bila shaka amesamehewa. Tujadili thread wakuu
Huyo Nundu anachekesha watu walioenda shule. Baada ya kuona deal limebumburuka ndio "ANAJINASUA". Na yeye yumo kwenye hiyo issue. Wakina - Zito endelea....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.