Nampongeza cardinal kwani kwenye kuumwa, tofauti huwa hazina nafasi...mie ni Chadema lkn kwa hili semeni msemavyo....nyie ccm fanyeni dhihaka lkn sio kwa kujuliana hali.
Idiot!katiba pendekezi ni Sera za ccm kuwalinda viongozi na mafisadi na so kwa ajili ya wananchi,mf haki za Makundi ni sehemu ya malengo makuu ya taifa huwezi dai popote(mahakamani) hata km serikali hatotimiza.
Degree ya mwaka mmoja unapata udokitari na pia ukizunguka km dagama unapigwa na uprofesa wa kichina..na ukiwabeza sana wapinzani pale ccm unaitwa Mh sana...msikivu...pia waweza kukubuhu ktk kuwapa sumu watu....na kudhulumu wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.