Ila na sisi abiria tunaopenda kushabikia madereva wanaoendesha bila kuzingatia sheria vile vile tunatakiwa kujirekebisha. Mimi nilishawahi kupanda basi dereva alikuwa anaendesha kama mwehu na mimi peke yangu ndani ya basi ndio nilikuwa napiga kelele apunguze mwendo. Hakuna hata abiria mmoja...
Hapa tunalaumu wahindi wakati makosa ni yetu wenyewe wabantu. Kwani hizo fedha za EPA nani aliwafanyia mipango huko mabenki na serikalini? Ukwepaji wa kodi nani anawapa mipango hiyo? Nakubaliana na Njabu kwamba tusitupe lawama kwa wengine tujisafishe sisi wenyewe kwanza.
Sisi wabantu tukianza...
Hivi Bwana Alien unajua mahakama ya Kadhi inashughulika na nini? Naona umeanza na kukata mikono na kupiga mawe ..... una hakika hii ndio kazi yake?
Tafadhali chukua muda kidogo ujifunze kuhusu baadhi ya vitu usikurupuke tu
Mwanafalsafa, Tina Turner aliweza kurudi kwenye chati mwaka 1984 baada ya kupewa talaka na kunyang'anywa kila kitu na mume wake Ike Turner na baadae kupotea kwenye ulimwengu wa muziki kwa miaka kama kumi hivi.
Akidhamiria kurudi basi atarudi kikweli kweli
wauzaji wa sura ikulu..na wazururaji...kazi tunayo!!!!....anaenda USA kusema ZE ...ZE...HOME IS PROBLEM ..STREET CHILDRENI...na bakuli lake!![/B]
Jamani haifai kudharau wenzenu, mbona wengine tunawaona lugha zao matatizo - from Spanish or Portuguese to English huwa wanasukuma hivo hivo. Cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.