Ikulu haijakanusha, bali imekuja na hoja za matusi. Kwa mfano, Ikulu inasema, " Isitoshe baadhi ya watu wanaotajwa katika habari hiyo kuwa walipata kuwa ama wako Ikulu kwa sasa kwa sababu ya kulindwa na Luhanjo, walikuwa Ikulu, wengine miaka mingi, kabla ya Luhanjo hajawa Katibu Mkuu Kiongozi...
Acha kumpakazia Kubenea. Yeye amenukuu tu, baadhi ya vyombo vya habari vilivyoandika kuhusu huyu fisadi wa NHC. Kwamba amepatikana kwa mizengwe. Sasa nakuambia ameteuliwa kutoka na nguvu ya Luhanjo. Huyu jamaa si mwadilifu kama unavyotaka tuamini. Alikuwa benki ya ABC ambayo ilitumika kupitisha...
Du! Kama kweli Zitto anauwezo wa kumpa gari Kafulila, basi huyu kijana kweli ni fisadi. Anapata wapi uwezo wa kumiliki magari yote hayo, wakati hata nyumba ya kulala hana? Acheni kumsingizia Zitto kwa mambo ya hovyo. Kafulila anataka kutumia mgongo wa Zitto kujitafutia umaarufu.
HIi yote ni dalili kuwa kuna watu waliingia upinzani ili kuganga nJaa. Huyu Juju namfahamu. Anapenda madaraka kuliko Lowassa. Hata utambulisho wake kwamba yeye ni kiongozi wa Bunge ni dhihirisho kwamba ni mpenda madaraka. Huyu alikuwa karani katika idara inayoshunghulikia masuala ya Bunge na...
Kumbe wewe umeuliza swali hili kwa lengo la kutaka kumdhalilisha Lwakatare? Huyu bwana amefanyakazi kubwa sana kule Bukoba katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema kimeshinda viti vingi kuliko hata hiyo CUF. Tusubiri tuone uchaguzi ukifika..
YULE mwandishi wa habari mahiri, Saed Kubenea yupo nchini India akipata matibabu ya macho baada ya kushambuliwa na mafisadi na kumwagiwa tindikali mwanzoni mwa mwaka jana.
Taarifaa zilizopatikana sasa hivi kutoka India zinasema mwandishi huyo anatakiwa kufanyiwa upasuaji katika jicho lake la...
Sasa nimejua kwa nini Makala, yule mweka hazina wa CCM alimjia juu Warioba. Kumbe kulikuwa na kitu nyuma yake? Kubenea tunaomba utueleze huyo aliyehojiwa na vyombo vya dola ni nani? Au ni uzushi? Kweli vyombo vya dola vya bongo vinaweza kuhoji viongozi wa chama tawala? Sijui!
Acheni domo, tunataka utekelezaji. Tumechoka na usanii wenu. Pinda angejiangalia kwanza yeye kabla ya kurukia wananchi. Baadhi ya wananchi fedha wanazotumia kununua nguo ni zao wenyewe, wamezipata kwa kuuza ng'ombe na korosho. Lakini yeye na Kikwete wanatumia fedha za umma. Kabla ya suti...
Kwa kweli, kwa yaliondikwa hapa na hata kutamkwa hadharani wakati ule, JK hawezi kukwepa tuhuma kuwa amechangia uporaji wa maliasili za taifa. Na kutokana na serikali yake kushindwa kuvunja mikataba hii ya kinyonyaji au kuirekebisha, inadhihirisha kwamba JK huyu wa sasa na yule aliyesaini...
Tunamsubiri ajibu maswali yetu haya. 1. Kwa nini chama chake kimebariki ufisadi kupitia NEC. 2. Au huo ndio mkakati wa kulinda Kagoda (Rostam), Deep Green (Masha), Richmond (swahiba wake Lowassa)? Naingia kwenye mkutano, narudi kuweka maswali mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.