Daktari mwenye degree anaeanza kazi take home ni tsh.960,000 na gross salary ni 1,300, 000 na mikoani wanapewa 250, 000 ya nyumba kila mwezi na call allowance ya si chini ya 100, 000 kwa mwezi.....so kwa mwezi take home si chini ya 1.3mil
Ila bado ndogo sana ukiliganisha na kazi zao vs wabunge.
Mimi ni maharagwe na karanga.
Nakumbuka siku ya kwanza mm kula maharage ni siku nilikuwa nasafiri na baba... basi kaniagizia chai maandazi na maharage...ile nimekula vijiko viwili vya maharage nikapata kichefu chefu nikatapika balaa.... nikatapikia vyakula vya wateja wengine pale mezani...
ana ugonjwa wa akili unaoitwa.... 'religious grandiose' na ni vigumu sana ya yeye kukubali kuwa anaumwa, so sidhani hata kama atakubali kumuona daktari.
kwa siku 200,000 (200,000 mara 28 ni 5,600,000) plus 3,000,000 mnayopeana mwisho wa mwezi plus 700,000 ya mshahara
jumla kwa mwezi ni 9,300,000 kwa miezi miwili ni Tsh. 18,600,000.
duh hongera sana huwezi hata kutunga uongo.
ww hatari zaidi ya HIV, TB na UKOMA kwa pamoja.
ukitoka na msichana outing hata km ni night club haimaanishi ni mpnz wako.
alafu iweje umnyime kazi kisa kakukataa?
nampenda huyo demu coz anajiheshimu.
mbumbumbu ni wewe.
Nimekuta mahala hii
Sarafu yetu ya TSH 500, inauzwa sh 2500 hadi 5000 ili ipelekwe kwa masonara ili kuyeyushwa na kutengenezea mikufu ya silver.
Bank kuu wanasema taarifa hizo wanazo na wanalifanyia kazi ili kubaini maduka yanaouza mikufu iliyotokana na sarafu ya 500
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.