Ninasikitika kwamba hiyo taarifa siyo ya wazungu,ninatamani mataifa ya magharibi yangedeclare kutompenda Lowasa ili furaha yangu ya kumchagua iongezeke!!!!!Sitamani kuwa na rais atakayetunukiwa Phd kwa gharama ya gas yetu.
Lengo la mageuzi siyo kugawana wizara wala wilaya!!Serikali ya UKAWA itapunguza ukubwa wa baraza la mawaziri na kufuta cheo cha mkuu wa wilaya.Tabia ya kugawana vyeo badala ya majukumu ndiyo iliyolifikisha taifa hapa lilipo.
Tuna tatizo kubwa sana kwenye mfumo wetu wa haki kama taifa!!Ni kweli kuwa kiongozi wetu akituhumiwa anapaswa kukaa pembeni kama alivyofanya Lowasa,ingawa Magufuli hakufanya hivyo.Anakaa pembeni ili kutoa nafasi ya kuthibitishwa au kukanushwa kwa tuhuma hisika baada ya uchunguzi.Sasa bwana...
Nilipata bahati ya kuwa katika kijiji cha HAYDOM,wilaya ya MBULU wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa na sasa nipo TARIME VIJIJINI kwa kwa zaidi ya miezi miwili.Ninashindwa kuelewa hivyo vijiji ambavyo CCM wanaamini watu wake wamebaki na akili za zamani ni vijiji vya wapi????
Watu mnaogopa kuwapokea watu eti waliiba kura 2010!!Tume yetu bado siyo huru na wizi wa kura utakuwepo,hao waliowahi kuiba kura wanaweza kuwasaidia namna bora ya kupambana na wizi wa kura kuliko mnavyofikiri ninyi!!
Kushabikia CCM inabidi uache kushirikisha ubongo wako au ubongo wako uwe dhaifu!!!Mtu anauliza eti unajuaje kuwa mtu anataka kuhonga kabla hajahonga????CCM bila rushwa haiwezekani,Mangula alilitambua hilo akatuliza mzuka alioingia nao.
Kwamba alikuwa akishirikiana na Zitto na Slaa kupanga mikakati MIBAYA na mizuri kwa nchi!!Wakati wote huo DHAMIRI yake ilimruhusu lakini uteuzi wa wakristo watupu na kuvuliwa nyidhifa kwa Zitto na Kitila dhamiri imekataa.Bado tuna tatizo kubwa sana ktk siasa za taifa letu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.