hiyo si kweli.Jen.Mboma ana historia si nzuri saaana jeshini.ukitaka kuelewa zaidi kaongee na wanajeshi waliokuwepo wakati wa utawala wake hasa katika tenda za maduka ya jeshi.Aliweza kuchakachua sana maduka yale na askari wakawa hawana pa kupeleka malalamiko yao.Tafakari
Ni vizuri kwa na viongozi wenye kujua wanachokifanya kama hili jembe, tuzidi kumwombea uzima mana bandarini pamekuwa ni kero kubwa kwa muda mrefu wakati pakiboreshwa patatufaa sana kukuza uchumi wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.