Hayo ni maneno tu, kwan wao hawana moyo wa upendo wa kumpenda mtu? Kila mtu na nafsi yake na sio mbaya ukionesha hisia za nafsi yako kwa uwazi kuliko kuwa mnafiki ukaonesha kwa kuendeshwa na njaa, uhuru wa mtu kuchagua upande umfaao uheshimimiwe.
Kelele zote hzo nashukuru ndg zangu wa huko kijijin hawazipati ila kampen zikianza ntarud nikawaelekeze mazur na ubora wa Lowasa lazima wampatie kura zao zote
Kifo cha kamanda huyu ni pgo lililoacha pengo kubwa ktk kijiji na familia kwa ujumla hakika kijana alikuwa ni tumain jipya la watanzania R.I.P Ramadhan
EL ni nyati aliyejeruhiwa atafanya kaz kwa umakin wake wote ili kuudhihirishia umma kuwa yaliyomkuta ilikuwa ni mchezo mchafu wa kisiasa. Hakika Lowassa ndo anatufaa 2015 wengne sion, zaid sana tukiwapatia fursa watataka kujifanyia yao kwn hawana cha kuwa prove wrong watanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.