Branch wanaanza na 20K. Kuhusu wengine hao, nikiwaface wataanza kuraise irrelevant speculations na judgement sizizo na tija. Ndo maana nimeamua kuja directly kwa wanajamvi.
Habari wakuu.
Kama mjuavyo shida haibishi hodi. Nimepata dharura na nahitaji mkopo wa shilingi laki 4 (400,000 tshs).
Nitarudisha baada ya siku 30 kwa riba ya 20%. Dhamana ni laptop yangu. Naishi Dar es Salaam.
Kwa yeyote mwenye uwezo huo au anayefahamu taasisi inayotoa huduma kama hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.