Pole sana dada Monika2, mdogo wako mie pia napitia hali kama yako. Soma ushauri wa member hapa pia upitie na ushauri kwenye thread yangu. Tena naona tulianzisha jana kwa pamoja. Kisha changanya na zako ufanye maamuzi.
Tafadhali rejea swali la BILGERT.
Pole, nikajibu "Asante" Ndoa ina muda gani? Nikajibu "Miezi 9" je tuna watoto? Nikajibu "tunatarajia mwezi ujao". Bado hujanielewa ndugu yangu?
Ndugu yangu acha tu, nimebakiza kula kwa macho. Ningekuwa na nguvu za kumbaka aisee ningembaka, make naishia kumtamani tu. Kitanda kimoja, shuka moja bila ku do ni bonge la adhabu. Najitahidi kujikausha lakini nazidiwa, ushauri wako ni muhimu sana kwangu
Mumeamkaje, mwenzenu nina hali mbaya. Nimenyimwa unyumba mwezi wa pili sasa, chanzo ni ugomvi wa hapa na pale usiohusiana na mapenzi. Tumesuluhishwa na ndugu na marafiki lakini hola!
Sifikirii kuwa msaliti, nafikiria kufanya maamuzi magumu ya kujiunga na chaputa. Msaada jamani
Habari zenu
Wanajamvi ni jambo la kushangaza nimenunua LUKU kupitia mobile banking transaction kwa sh. 25,000/= cha ajabu nimepatiwa units 10 tu.
Kwanza sijaona ile breakdown kama ambavyo nikinunua kwa M pesa au Tigo Pesa ila units zimeingizwa moja kwa moja kwenye mita.
Hivi kuna namba za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.