ni kweli lowasa anakashfa za ufisadi... ninani ambaye hana kashifa za ufisadi? nani atakuwa raisi wa nchi asifanye ufisadi? lowasa anajua uongozi ni nini na ana uwezo mkubwa wa kuongoza hii nchi kuliko maraisi waliopita.
habari za usiku wadau, leo nimepata e-mail kutoka yahoo na window eti nimeshinda pound laki 8, hii ni sehemu tu ya hiyo e-mail, je huu si utapeli wa kwenye mtandao wadau?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.