Recent content by Emasaku

  1. Emasaku

    Badoo inanivunjia uchumba wangu

    Japo kuwa hutaki kumwambia huwezi jua labda na yeye yupo humu jf...
  2. Emasaku

    Kwanini niliamua kwenda kwa mganga

    badaa ya kutoa part one alivyo rudi ofcn joka likammeza.....
  3. Emasaku

    Lowassa si muadilifu, ni wa kuogopwa kama ukoma

    napenda lowasa awe raisi alafu aendeshe hii nchi kidikteta...
  4. Emasaku

    Lowassa si muadilifu, ni wa kuogopwa kama ukoma

    ni kweli lowasa anakashfa za ufisadi... ninani ambaye hana kashifa za ufisadi? nani atakuwa raisi wa nchi asifanye ufisadi? lowasa anajua uongozi ni nini na ana uwezo mkubwa wa kuongoza hii nchi kuliko maraisi waliopita.
  5. Emasaku

    Natafuta mpenzi

    weka sifa zako na upo mkoa gan?
  6. Emasaku

    King'amuzi cha Digitek

    ww upo kibiashara zaidi! Mvuta kamba uvutia.....
  7. Emasaku

    Je nimeshinda pound 800,000 na Yahoo! au ni utapeli huu?

    habari za usiku wadau, leo nimepata e-mail kutoka yahoo na window eti nimeshinda pound laki 8, hii ni sehemu tu ya hiyo e-mail, je huu si utapeli wa kwenye mtandao wadau?
  8. Emasaku

    Ushauri wa haraka jamani

    Pole sana, huyo gf wako ndo ulianza naye form one hadi chuo?
  9. Emasaku

    What they call it a constant is not constant!

    ipo, hata mimi nimeisoma mwaka wa pili chuo!
  10. Emasaku

    Natafuta rafiki wa kike

    Duh!! Unamiaka kati ya 20-27?!?! umepoteza kumbukumbu nini?
  11. Emasaku

    Natafuta fundi wa digital camera canon ixux 9515

    kunajamaa mmoja anaitwa Omar nimtalamu wa kamera yupo posta... Alinitengenezea kamera yangu ya kanon. Mchek 0787935339
  12. Emasaku

    Magari yanauzwa bei poa

    Bei poa ndo shilingi ngap? Weka picha na bei yake!
  13. Emasaku

    Kutoa harufu mbaya kwenye makende

    Nafikiri omo au foma gold inaweza kumsaidia kumaliza hiyo harufu!!!
  14. Emasaku

    Ajali ya basi NBS toka Tabora to Arusha

    Mohamed au NBS Bus imepata ajali?
Back
Top Bottom