TRA wametaja Ambwene Konzo Limited kama wasambazaji wa EFD za zamani pekeake na wameacha VFD ambayo tumekua tukiiuza muda mrefu.
https://www.jamiiforums.com/threads/jipatie-vfd-efd-toka-ambwene-konzo-limited.2055876/
Jaribu hii kutoka AMBWENE KONZO LIMITED inatumika zaidi ya miaka mitatu sasa
https://web.facebook.com/pos255
https://www.instagram.com/255pos
https://twitter.com/255pos
Unaweza pia tumia vifaa tofauti kulingana na mazingira yako
Sio simu na kompyuta tu... Njoo Mfumo wako... au nunua kwetu kwa bei nafuu.
Tunakupa namna , rahisi, salama na nafuu zaidi ya kutoa risiti za tra kwa kutumia simu,kompyuta,pos au mfumo wako ulionao. Huna haja ya kununua machine.
Ipate ndani ya siku 3 tu za kazi. Wasiliana nasi
Tumia VFD yetu kutoa risiti za TRA
Ukiacha usajili wa mwanzo kwa wateja na bei ya printer au posi, kama unahitaji. Gharama za kutumia mfumo ni elfu 50 tu kwa mwaka bila kujali unatumia vipi.
Ni kweli, ndio maana mfumo wetu 50 kwa mwaka.
Hasara ya pos yako utaiona siku ikiharibika au ukitaka kubadili biashara au kumuachia yule shemeji yako.
Ila kama bahati unaweza tumia mfumo wetu kwenye posi za kisasa ambazo hazina hizo changamoto...
Ona moja hii hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.