Haya yote yanatokana na na siasa za chuki tukubuke Zanzibar kila uchaguzi hutokea mauaji na husababishwa na Serekali sasa kuepusha hayo na sasa walivyo kubaliana ni lipi bora tuipongeze CUF kwa ujasiri wao wa kuepusha madhila na maonevu.Hakuna aliye watetea wakati wanapopata madhila hayo :Adui...
Yamani hebu tujiulize CUF ina kiti gani cha Ubunge Bara.Wazanzibari wao wamekiunga mkono kwa hali na mali hata kupoteza maisha yao kwa CUF sasa tujiulize Bara tuna nini na wakaazi wa Bara wanafikiria nini JE? tunahitaji UKOMBOZI kama Wazanzibar au tuendelee hali halisi ? naamini CUF itaendelea...
Kwa kweli inastaajabisha hata siamini hivyo hawa wanafahamu au ndio usinii wao ndio wanataka kutopoteza watanzani aibu kwa kweli na hawana maana tena nina wasi wasi tusije tukamuona na MRISHO nae yumo humo.:angry:
Ndugu yangu Deganche2008 huayajui ni mamgapi yaliyotokea TANZANIA ccm mamefika kuua wewe upo wapi hujui kitu ndugu yangu sio tutizame Muhuzi tu ile ndio CUF MTU NI KUWAJIBIKA sio kulindana ukae ufahamu .
Mimi naongezea tu na kifo cha Makamo wa Rais Hayati Muheshimiwa Dr Omar Juma inasadikiwa Mkapa ndie chanzo cha kifo chake naomba na hili litiwe pindipo akifikishwa mahakamani kwani kuna utata wa kifo chake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.