Sifa za anayehitajika;
1. Awe amesomea masuala yanayohusika na masoko / awe na uwezo wa shughuli zinazohusiana na masoko.
2. Awe na umri wa kati ya miaka 25 hadi 35.
3. Awe anaishi Arusha
Kwa atakaye kuwa tayari awasiliane nasi kwa namba 0685624664.
​Anahitajika Mwalimu mwenye uwezo wa kufundisha masomo ya UALIMU (EDUCATION COURSE) katika taasisi ya elimu ya juu.
*Mwombaji awe Arusha/ aweze kufanya kazi Arusha
*Mwombaji awe amehitimu elimu ngazi ya Shahada(Degree) ya ELIMU katika chuo kikuu kinachotambuliwa na serikali.
Kwa aliye...
Wakuu Mwigulu ameonekana hapa Arusha leo hii, amekuja kupanga mikakati na kutekeleza uchakachuaji wa matokeo ya kura za Udiwani wa kata nne za jiji la Arusha utakaofanyika tarehe 14 July 2013.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.