Hivi ni kweli chama tawala kimependekeza kuonda kwenye rasimu tunu za taifa, ambazo ni uwazi na uwajibikaji?na bado wanajigamba wanamuehezi mwl nyerere? Hivi ni kwanini viongozi wa chama cha mapinduzi wanatudharau sana wananchi wake kiasi cha kutuona atuna akili?
Mwalimu alisema nchi yeyote ili ionekane imeendelea inatakiwa maendeleo yake yalenge zaidi watu kuliko vitu, sasa tanzania inakua kiuchumi lkn watu wake wanazidi kuwa masiki je?ndio kumeenzi mwalimu?
Ndugu wana jamii akuna nchi yeyote duniani inaweka dira ya chama kuwa ya nchi na ikafanikiwa, nijuwavyo huwa nchi inaongozwa na dira ya taifa na nchi nyingi zenye dira ya taifa zimefanikiwa
Sheree za kutimiza miaka 50 mwaka huu zimefanyika huku kukiwa na manunguniko mengi sana kuwa ni aina gani ya muungano tuutakao, japo wananchi wengi wa tanzania wameonyesha nia ya kuendelea na muungano lkn wameonyesha nia ya kutaka mabadiliko na kutaka aina mpya ya muungano, kutona na sababu hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.