Jaman tuseme huyu Ray C hana marafiki jaman wenye uwezo wa kchangia mpaka aombe watanzania, mtu aliekua maarufu namna ile jaman, wasanii wenzake alofanya nao kolabo, clouds fm mameneja na maproducer wa mhzik wake wote hao wameshinwa kumchangiatu wao, kuna watu wengine ambao hawana hata mtu...
Mwambie bwana huwezi utaokoa maish ya huyo mtoto kunyweshwa uji naman kuna mtoto alikufa hivi hivi nakwambia. Tafadhal sana. Wambie hata ingekua ni mimi mama wa mtoto ningependa niambiwe
Kuna na yule Sauda Mwilima mtangazaj wa Star TV amejichubua kachukiza kabisa. Who do they try to kid kwamba wao ni weupe kama waarabu, mbona weupe wa asil na wakujichubua unafahamika kabisa. Ukijichubua unaonekana soo mshamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.