Recent content by DEAE

  1. D

    Magufuli, Pesa hizi zinatoka wapi?

    kuna watu hawana kumbukumbu kabisa, sijui akili yao ikoje? mara hii mmesahau kuwa bajeti ya 2015/16 wizara ya elimu ilisema shule ya msingi hadi sekondari bure? rejea kwenye kumbukumbu za bunge na wizara ya elimu utapata majibu yote hayo.
  2. D

    Wizara ya Elimu Wasaidieni Wanafunzi Mzumbe Wanateseka Sana!!

    Mmmmmh Le mutuz, vyuo vyote nchini ukiacha UDOM havina mabweni ya kutosha. Serikali nayo kila kukicha inaongeza udahili. Hivyo ikatoa maagizo wafanye watavyojua ili kuhakikisha wanafunzi wanaoongezwa kwenye udahili wanapata pa kulala. Ndo maana mpango wa hostel binafsi ukahasishwa kwa wawekezaji...
  3. D

    Greetings

    Karibu mpiganaji
Back
Top Bottom