safi sana yani nilikua makini kuangali kama kweli chadema watatoka nje message sent Jk kapaki anashangaa tu maana akutegemea bravo CHADEMA achana na CUF WANAFIKI
Habari wana jamiiforum,
Mie napenda kuuliza hivi ni kampuni gani ya cm inayotoa huduma ya bei ya chini ya internet mimi natumia zantel ila ni ghali sana ukilinganisha na hali ya mtanzania wa kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.