Tatizo si ukilema wa akili! Hawa wana akili timamu ila tatizo ni umasikini uliopita kipimo! Si mnajua masikini hufuata kila analopanga tajiri yake?
Kuwakomboa hawa ni kuondoa gap kat ya watoto wa watajiri 'fisadi' na wale wa walala hoi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.