Sikumaanisha wakenya wapo sahihi sana bali wanatushinda kuna mambo yakitaifa huwa wanaweka tofauti zao pembeni. pili mimi sipo hapa kwa maslahi ya mtu au kikundi flani pia maoni yangu ni sahihi mbeleyangu lakini kwako yanaweza yasiwe sahihi
Tukivitumia vyama vya siasa kwaakili kama tunavyo yatumia maduka tutafanikiwa kwamfano duka A linauza sim C elf 50 duka B ambalo nilandugu yangu anaiza sim hiyo hiyo sh elf 80 hakika nitaenda kununua duka A japokua hatujuani. Basi na kwenye siasa tusimwangalie nyani usoni. Tuhakikishe ahadi...
Habari wana jukwaa,
Watanzania tumeushinda ukabila tumeshindwa na uchama yaani Januari mpaka Januari kazi ni kukipigia makofi chama chako ukienda kwenye mkutano wa chama chako unasikiliza tu aulizi maswali hata kama unachoambiwa hakikuingii akilini hakina faida kwa jamii.
Tunawashabikia watu...
Hizi tochi haziwazuii madereva kuoverspeed huwa wanapeana ishara wanapopishana kwa kuonyesheana mstari wa ktk yabarabara pia vituo vya kupigia tochi vimezoeleka na madereva wakongwe Mi naona watafute njia nyingine kwani tochi zipo na ajali zinatokea tu tena zinazotokana na mwendo kasi.
Asante mkuu pia dereva hatakiwi kua na huzuni au furaha kupindukia maranyingi zimetokea ajali nakuua wanafamilia waliotoka kwenye sherehe au misiba kama wewe ni dereva na upo na ndugu/rafiki na unaendesha ktk barabara kuu epuka kupiga story kupita kiasi epuka kucheka sana weka akili yako...
safari ya ukombozi bado ni ndefu sana, ccm wame wapumbaza watz sana hebu tizama mambo yaliyotokea ktk taifa hili na kutopatiwa majibu kutekwa kwa dr Ulimboka mauaji ya Mwongosi Dr Mvungi Mabomu Olasiti kanisani Mabomu soweto Arusha.... yaani nimegundua kila likiwanyika tukio lisilo la kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.