Recent content by chaliko

  1. chaliko

    Uliza Swali lolote kuhusu Dodoma (Makao Makuu ya Tanzania)

    Habari Ndugu zangu? Nipo Dodoma (Makao Makuu ya Tanzania) kwa miezi kadhaa sasa. Kama una Swali lolote kuhusu Dodoma, unaweza kuniuliza. Nipo tayari kujibu Maswali yenu.
  2. chaliko

    Maumivu ya bajeti ya 2021 yako hapa kwa wananchi wa kawaida

    Kipengele (i) na (ii) kina gusa Watu wengi Sana mpaka wenye Uchumi mdogo kabisa. Bora wangeacha Faini ya Bodaboda iendelee kuwa 30,000/= kwa kila Kosa.
  3. chaliko

    Ruvuma: Wananchi watahadharishwa, tembo zaidi ya 200 wapo nje ya hifadhi

    Aisee... Tembo ni mtamu japo ladha ya Nyama yake inatofautiana kutoka eneo moja la mnyama hadi lingine. Kwa Watu wa Ruvuma hiyo ni fursa ya Uwindaji haramu na kula Nyama ya Tembo kwa bei poa.
  4. chaliko

    Rais Samia Afanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC)

    Muda siyo Mrefu tutasikia KISHINDO CHA AWAMU YA SITA.
  5. chaliko

    TANESCO yakalia fidia ya wananchi miaka mitano

    TANESCO ni genge la Wahuni, kule DODOMA eneo la KIKOMBO na MSALATO tangu 2018 wametwaa Ardhi ya Wananchi na leo hii hawajawalipa. Wanakuja na Mbwebwe nyingi kuwa FEDHA ipo kumbe hamna kitu. Narudia tena TANESCO ni WAHUNI.
  6. chaliko

    Waziri Lukuvi, huku Idara ya Ardhi hakujakaa sawa

    Lukuvi hii Wzara imemshinda kabisa. Binafsi huyu ni Mmoja Kati ya Mawaziri wa hovyo kabisa.
  7. chaliko

    TAA na TANROADS lini mtatulipa fidia wadau wa Msalato?

    CCM ikiondoka madarakani watu wa Dodoma Mtaacha kudhulumiwa na mtalipwa Mkuu. Hebu fikiria tangu Mgogoro wa Ardhi Msalato umeanza mmewahi kumuona Mwenyekiti wa Mtaa, Mh. Diwani, Mh. Mbunge au Mkurugenzi wa Jiji?. HATA SIKU MOJA. Waziri wa Ardhi Mh. Lukuvi utasikia yupo Mwanza, mara Arusha, n.k...
  8. chaliko

    Maisha mapya katika nchi za watu

    Unaweza kukuta ni mambo ya LWANDA MAGERE.
  9. chaliko

    MAGUFULISM: Falsafa ya Magufuli kwenye Siasa, Uchumi N.k

    Sitaki kuwa MNAFIKI, kwangu Mimi Hayati Magufuli alikuwa na Sifa zifuatazo; 1. Mtu aliye nyang'anya TUNU ya UHAI ambayo Mwanadamu alipewa na MUNGU. 2. Mtu aliyekuwa na Kiburi na Jeuri. 3. Mtu mwenye UPEO Mdogo wa Kudadavua mambo, hasa ya Dunia ya Sasa. 4. Mtu mwenye wivu na husda na...
  10. chaliko

    Waziri Kalemani: Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15, 2021. Umeme wa maji ni nafuu kuliko wa vyanzo vingine

    Mkuu Generalist, Hatupingi, Ila kama Mh. Waziri ameweka wazi PRODUCTION COST @UNIT basi pia aweke wazi SELLING PRICE @UNIT baada ya Umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere Kuanza kufanya KAZI.
Back
Top Bottom